Wahanga wa shambulio la Ugaidi wakumbukwa Ufaransa

WEKA TANGAZO
katika kanisa katoliki la Notre Dame mjini Paris, wakati raia wa Ufaransa walipowakumbuka wahanga wa shambulizi la kigaidi katika ofisi ya jarida la Ckatika kanisa katoliki la Notre Dame mjini Paris, wakati raia wa Ufaransa walipowakumbuka wahanga wa shambulizi la kigaidi katika ofisi ya jarida la Charlie Hebdo harlie Hebdo 

Raia waliokuwa katika eneo hilo waliweka kalamu, kuwasha mishuma na hata vijikaratasi vilivyokuwa na ujumbe wa huzuni na kulaani kitendo hicho. Mwanamke mmoja alisema kwa sauti “Mshikamano na Uhuru” huku akibubujikwa na machozi. Na ilipofika saa sita juu ya alama hivi ndivyo hali ilivyokuwa nchini Ufaransa.
Wafaransa walinyamaza kwa dakika moja kuwakumbuka wahanga wa shambulio hilo la kigaidi. Baadaye raia hao waliimba wimbo wa taifa, huku wakilia, wengi wakiwa na kalamu na penseli ishara ya wachora vibonzo waliolengwa katika shambulio hilo.

WEKA TANGAZO

0 maoni: